Loading...

WAZIRI MKUU : Serikali kufuta tozo tano katika zao la korosho

MAAJABU YA MTANDAONI BOFYA HAPO CHINI HUTAAMINI MACHO YAKO =>
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema uamuzi wa Serikali wa kufuta tozo tano kati ya tisa alizokuwa anakatwa mkulima wa zao la korosho uko pale pale na unatarajiwa kuanza kutumika katika msimu mwaka huu hivyo ameitaka Bodi ya Korosho kusimamia uamuzi huo.
“Watendaji wa Serikali katika ngazi mbalimbali mnatakiwa kuhakikisha kwamba maelekezo haya yanafuatwa. Malengo yetu ni kumpunguzia mkulima mzigo wa tozo nyingi alizokuwa anakatwa,” alisema.
Waziri Mkuu ametoa kauli hiyo jana jioni (Jumamosi, Julai 16, 2016) wakati akipokea taarifa ya maendeleo ya mkoa Mtwara pamoja na taarifa ya kuondolewa kwa baadhi ya tozo katika zao la korosho zilizowasilishwa na Mkuu wa Mkoa huo, Halima Dendego.
Alisema Serikali iliamua kuzifuta tozo hizo baada ya kubainika kuwa zilikuwa zikiwanyonya wakulima hali iliyosababisha wauchukie mfumo wa stakabadhi ghalani.
“Kuanzia mwaka huu Serikali imeamua mfanyabiashara yeyote wa korosho hana budi kuanza kulipa malipo ya awali kabla ya kuingia kwenye mnada ili tuwe na uhakika wa kununua korosho hizo na kuwalipa wakulima kwa wakati,” alisema.
Akizungumzia kuhusu changamoto ya kushuka kwa uzalishaji wa korosho Waziri Mkuu aliutaka mfuko wa wakfu wa kuendeleza zao hilo ufanye utafiti wa kubaini sababu ili waweze kutafuta namna ya kuipatia ufumbuzi.
“Nitakuja kukutana na viongozi wa mfuko waniambie wanafanya nini na wamefanya nini miaka mitatu iliyopita na wana mpango gani huko mbele tunakokwenda kama hakuna mpango tutauangalia mara mbili mbili kwani wana fedha nyingi lakini hata mbegu hawapeleki kwa wakulima,”alisema.
Katika hatua nyingine Waziri Mkuu aliitaka Bodi ya Korosho kuhakikisha kila msimu wakulima wanapata pembejeo bora na zinawafikia kwa wakati ili waweze kupata mazao ya kutosha.
IMETOLEWA NA:
OFISI YA WAZIRI MKUU,
JUMAPILI, JULAI 17, 2016

COOPERATIVES

A cooperative is an organised group of like-minded producers who combine to form a farmers’ group or partnership. Members share responsibilities and any profit or loss. They speak with a single voice and can purchase feed, equipment, chicks, building material and other supplies more cheaply. Eventually storage facilities can be established and a supply shop set up. The group can also have a strategic plan to reduce competition between individuals, set prices for poultry products and generally work to help one another to establish an industry on a firm footing. Trainers should provide as much assistance as possible to the farmers in establishing a working group that will spearhead the formation of a cooperative. The cooperative may eventually expand into other areas of commerce where the farmers can trade other farm produce in addition to poultry.

COMMUNITY OWNERSHIP

This is similar to, but less rigid than a cooperative and is run by a committee representing a district or village community. For example, the committee may be responsible for raising point - of - lay pullets. These they sell at 17 - 18 weeks to individual egg producers and the profits are distributed amongst the community. The committee might purchase and run an incubator, and sell the chicks for meat or egg production at different ages. Or the committee may manage a small broiler or egg farm along commercial lines. In both cases there is opportunity to buy large numbers of chicks and bags of feed. This is usually attractive to the supplier and cheaper for the community. The concept of community farming is to empower people, mainly women, who have no opportunity as individual poultry keepers, to improve their circumstances and to alleviate poverty. Once formed, It can be extended to bio-security programs, vaccination programs against diseases, purchase of medical and other supplies, marketing of meat birds and eggs, dissemination of information, training programs and exchanging information, and greater opportunity to obtain micro-credit. This is critical to allow expansion of the family enterprise. There is a key role here for the poultry trainer who can assist in orchestrating the group by providing advice and guidance.

BE THE FIRST TO COMMENT

[1.6MB]VIDEO CHAFU YA WANACHUO WA UDSM YAVUJA IONE HAPO CHINI
Wema Sepetu (born 1988) is a Tanzanian beauty contestant who won the Miss Tanzania contest in 2006.[1] She represented Tanzania in Miss World 2006 which was held in Poland. She later on achieved fame and popularity in her home country by acting in Tanzanian Films. [1.6MB]SIJAAMINI WEMA SEPETU ANACHOKIFAYA HAPO KWENYE HII VIDEO BOFYA UONE =>
Newer Posts Older Posts
© Copyright TanzaBongo | Designed By Code Nirvana
Back To Top