Loading...

Darasa letu; Mwanamke kuimba uwanjani kunaongeza upendo

MAAJABU YA MTANDAONI BOFYA HAPO CHINI HUTAAMINI MACHO YAKO =>

Naamini wote mpo salama na kwa wale wagonjwa nawaombea Mwenyezi Mungu awape nguvu mtapona.
Wiki iliyopita nilizungumzia kuhusu wale mashoga zangu waliozoea kulala na magauni wakati wanajua fika wameolewa.
Naamini wameshafanyia kazi na kama bado shoga yangu hebu amka! Achana na kujizibaziba kama ndiyo umetoka kuchezwa ngoma leo.
Baada ya hayo, leo nimekuja na mada ambayo wengi wamekuwa wakiwachukiza waume zao. Utakuta mwanaume anaingia uwanjani, anahangaika kupiga vinanda vya aina zote sambamba na gitaa lakini mkewe hata kuimba hawezi, anakaa kibubububu!
Shoga huwezi ukaingia uwanjani kucheza muziki unaishia kukaa tu, mwanaume wako tena wa ndoa ndiyo afanye kazi yote ya kupiga gitaa, kinanda na kukuburudisha tena anajitahidi kutoa sauti nzuri na nyororo lakini mwenzangu na mimi kimya hata kiitikio tu huwezi.
Uwanjani ni sehemu kubwa sana na kila mwanamke anayekuwepo eneo hilo huwajibika kwa kuimba. Nikung’ate sikio tu shoga yangu! Wanaume wa sasa ukitaka wakupende uwanjani we waimbie tu. Unaweza ukaimba Taarab, ukiona haimuingii mbadilishie imba Mchiriku, ukiona napo bado haimuingii basi unamuimbia zile nyimbo laini za wanamuziki kama Celine Dion, Mariah Carey utaona mwenyewe anavyochanganyikiwa.
Kama ulikuwa hujui shoga yangu, wanaume wa sasa wajanja sana, hata kama amekuoa, akiona kila akiingia uwanjani hasikii ukiimba hata kiitikio tu, taratibu ataanza kujitafutia uwanja mwingine anaoona unaweza kumpa faraja ya moyo wake kwa kumuimbia nyimbo anazozitaka.
Kuna shoga zangu wengine wameingia kwenye ndoa siku chache halafu wanaanza kulalamika ‘Ohh mume wangu uwanjani simwelewi kabisa, dakika mbili tu anamaliza mechi hataki tena!’ kumbe hajui mchawi ni yeye mwenyewe ambaye kila wakiwa uwanjani anageuka bubu! Hajui kama ameshindwa kumpa nyimbo za kumfanya asichoke kucheza.
Shoga shtuka! Ukiwa uwanjani wee imba tu nyimbo zote utaona mwenyewe, kesho yake atataka tena kuingia uwanjani na kukusikia ukimuimbia.
Kwa hiyo mashoga zangu, uwanjani siyo sehemu ya kurukaruka tu, au kucheza muziki kimyakimya bali ni sehemu ya kupokezana sauti au kuimba pamoja. Kama utaona mwenzako anaimba staili za kutaja jina lako basi na wewe muoneshe mara mbili yake, imba misemo ya kimahaba ya Kiingereza na Kiswahili huku mechi ikiendelea utaona jinsi atakavyotamani msimalize kupiga shoo.

COOPERATIVES

A cooperative is an organised group of like-minded producers who combine to form a farmers’ group or partnership. Members share responsibilities and any profit or loss. They speak with a single voice and can purchase feed, equipment, chicks, building material and other supplies more cheaply. Eventually storage facilities can be established and a supply shop set up. The group can also have a strategic plan to reduce competition between individuals, set prices for poultry products and generally work to help one another to establish an industry on a firm footing. Trainers should provide as much assistance as possible to the farmers in establishing a working group that will spearhead the formation of a cooperative. The cooperative may eventually expand into other areas of commerce where the farmers can trade other farm produce in addition to poultry.

COMMUNITY OWNERSHIP

This is similar to, but less rigid than a cooperative and is run by a committee representing a district or village community. For example, the committee may be responsible for raising point - of - lay pullets. These they sell at 17 - 18 weeks to individual egg producers and the profits are distributed amongst the community. The committee might purchase and run an incubator, and sell the chicks for meat or egg production at different ages. Or the committee may manage a small broiler or egg farm along commercial lines. In both cases there is opportunity to buy large numbers of chicks and bags of feed. This is usually attractive to the supplier and cheaper for the community. The concept of community farming is to empower people, mainly women, who have no opportunity as individual poultry keepers, to improve their circumstances and to alleviate poverty. Once formed, It can be extended to bio-security programs, vaccination programs against diseases, purchase of medical and other supplies, marketing of meat birds and eggs, dissemination of information, training programs and exchanging information, and greater opportunity to obtain micro-credit. This is critical to allow expansion of the family enterprise. There is a key role here for the poultry trainer who can assist in orchestrating the group by providing advice and guidance.

BE THE FIRST TO COMMENT

[1.6MB]VIDEO CHAFU YA WANACHUO WA UDSM YAVUJA IONE HAPO CHINI
Wema Sepetu (born 1988) is a Tanzanian beauty contestant who won the Miss Tanzania contest in 2006.[1] She represented Tanzania in Miss World 2006 which was held in Poland. She later on achieved fame and popularity in her home country by acting in Tanzanian Films. [1.6MB]SIJAAMINI WEMA SEPETU ANACHOKIFAYA HAPO KWENYE HII VIDEO BOFYA UONE =>
Newer Posts Older Posts
© Copyright TanzaBongo | Designed By Code Nirvana
Back To Top