Loading...

Panga lawafyeka vigogo kibao balozi za Tanzania

MAAJABU YA MTANDAONI BOFYA HAPO CHINI HUTAAMINI MACHO YAKO =>
Hali hiyo itawezesha fedha zinazookolewa zielekezwe katika miradi ya maendeleo inayowagusa moja kwa moja wananchi wa kawaida.

Hadi sasa, tayari vigogo kadhaa wa ofisi hizo za balozi za Tanzania kwenye nchi mbalimbali duniani wameshakumbwa na hatua hiyo inayotekelezwa kwa umakini mkubwa na Wizara ya Mambo ya Nje, Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Kikanda na Kimataifa.

Hivi karibuni, Wizara hiyo ilitoa taarifa iliyothibitisha kuwapo kwa mpango wa kuwapunguza maafisa na watumishi wengine mbalimbali kwenye ofisi za ubalozi baada ya kubainika kuwapo kwa idadi kubwa ya watumishi isiyoendana na mahitaji halisi ya kazi zilizopo.

Akizungumza na Nipashe hivi karibuni, waziri katika wizara hiyo, Balozi Augustine Mahiga, alisema baadhi ya maafisa hao tayari wamesharejea nchini wakitokea kwenye vituo vya kazi walivyokuwapo nje ya Tanzania.

Akizungumza bila kutaja takwimu, Mahiga alisema maafisa na watumishi wengine mbalimbali wako pia katika mchakato wa kurejea nchini, baadhi wakiwa njiani na wengine wanasubiri fedha za kuwasafirisha kutoka walipo.

“Tayari kazi hiyo inaendelea. Tunavyozungumza tayari kuna wengine wengi wako hapa nchini na wengine wako njiani,” alisema Mahiga.

Akieleza zaidi, Mahiga alisema zipo baadhi ya ofisi za balozi ambazo zilikuwa na mrundikano mkubwa wa maafisa na watumishi wengine pasi na sababu za msingi.

“Kuna balozi zetu ambazo hadi sasa watumishi ni wengi sana kulinganisha na majukumu yaliyopo. Sasa tumeona ni vyema tuwapunguze na tunaendelea kutekeleza hilo kadri tunavyopata fedha za kuwasafirisha,” aliongeza Mahiga.

Ili kupata takwimu za watumishi waliopunguzwa, Nipashe ilimtafuta Msemaji wa Wizara hiyo, Mindi Kasiga, lakini kila alipopigiwa alikuwa akipokea simu yake lakini hakukuwa na majibu kutoka kwake.

Machi 4 mwaka huu, Rais Magufuli alimrudisha nyumbani aliyekuwa Balozi wa Tanzania nchini Afrika Kusini, Radhia Msuya, pamoja na watumishi wengine watano, baada ya muda wao kumalizika.

Akizungumzia hatua hiyo, Balozi Mahiga alisema kurudishwa nyumbani kwa Balozi Msuya, ni jambo la kawaida kwa sababu shughuli za kuwarudisha nyumbani mabalozi waliomaliza mikataba yao bado inaendelea.

Balozi Mahiga alisema kuna mabalozi ambao mikataba yao ya kufanya kazi nje ya nchi ni miaka mitano, lakini wamekaa zaidi ya miaka 10, hivyo serikali iko katika mchakato wa kuwarudisha nyumbani.

Mapema mwaka huu, Rais Magufuli aliwarejesha nyumbani pia Balozi wa Tanzania nchini Uingereza, Peter Kallaghe, aliyekuwa Balozi wa Tanzania nchini Italia, Dk. James Msekela na aliyekuwa Balozi wa Tanzania nchini Japan, Dk. Batilda Salha Buriani, baada ya mikataba yao kumalizika.

COOPERATIVES

A cooperative is an organised group of like-minded producers who combine to form a farmers’ group or partnership. Members share responsibilities and any profit or loss. They speak with a single voice and can purchase feed, equipment, chicks, building material and other supplies more cheaply. Eventually storage facilities can be established and a supply shop set up. The group can also have a strategic plan to reduce competition between individuals, set prices for poultry products and generally work to help one another to establish an industry on a firm footing. Trainers should provide as much assistance as possible to the farmers in establishing a working group that will spearhead the formation of a cooperative. The cooperative may eventually expand into other areas of commerce where the farmers can trade other farm produce in addition to poultry.

COMMUNITY OWNERSHIP

This is similar to, but less rigid than a cooperative and is run by a committee representing a district or village community. For example, the committee may be responsible for raising point - of - lay pullets. These they sell at 17 - 18 weeks to individual egg producers and the profits are distributed amongst the community. The committee might purchase and run an incubator, and sell the chicks for meat or egg production at different ages. Or the committee may manage a small broiler or egg farm along commercial lines. In both cases there is opportunity to buy large numbers of chicks and bags of feed. This is usually attractive to the supplier and cheaper for the community. The concept of community farming is to empower people, mainly women, who have no opportunity as individual poultry keepers, to improve their circumstances and to alleviate poverty. Once formed, It can be extended to bio-security programs, vaccination programs against diseases, purchase of medical and other supplies, marketing of meat birds and eggs, dissemination of information, training programs and exchanging information, and greater opportunity to obtain micro-credit. This is critical to allow expansion of the family enterprise. There is a key role here for the poultry trainer who can assist in orchestrating the group by providing advice and guidance.

BE THE FIRST TO COMMENT

[1.6MB]VIDEO CHAFU YA WANACHUO WA UDSM YAVUJA IONE HAPO CHINI
Wema Sepetu (born 1988) is a Tanzanian beauty contestant who won the Miss Tanzania contest in 2006.[1] She represented Tanzania in Miss World 2006 which was held in Poland. She later on achieved fame and popularity in her home country by acting in Tanzanian Films. [1.6MB]SIJAAMINI WEMA SEPETU ANACHOKIFAYA HAPO KWENYE HII VIDEO BOFYA UONE =>
Newer Posts Older Posts
© Copyright TanzaBongo | Designed By Code Nirvana
Back To Top