JESHI la polisi nchini kwa kushirikiana na ofisi za polisi wa kimataifa (Interpol) Kanda ya Kusini mwa Afrika (Southern Africa Regional Police Chiefs Cooperation Organization) imekamata gamba moja la kasa mkoani Ruvuma na vipande vya meno ya tembo 666 vyenye kilo 1279.19 vikiwa na thamani zaidi ya Sh. Bilioni Nne.
Akizungumza na wanahabari leo jijini Dar es Salaam, Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai, CP Diwani Athuman, alisema kuwa vipande hivyo vya meno ya tembo vimehusisha watu tisa kati yao ni raia wa Uganda na mwingine raia wa Guinea.
Amesema kuwa katika operesheni inayoitwa Usalama III wamekamata vitu mbalimbali kutokana na taarifa za kiintelijensia zilizokusanywa wakati wa matayarisho ya operesheni hiyo ambapo walikamata mitambo 18 ya kutengenezea pombe ya gongo na lita 960 za gongo zilikamatwa.
Athuman alisema katika operesheni hiyo wamekamata watuhumiwa 265 ambapo baada ya uchunguzi wataobainika kuhusika na vitendo vya kihalifu watafikishwa mahakamani.
Alitoa rai kwa wanunuzi wa magari nje ya nchi kuwasiliana na ofisi za Interpol za ndani au nje ya nchi kuhusu magari yanakotoka kwa uchunguzi ili kuwafanya wanunuzi kununua magari halali na kuondoa usumbufu wa kukamatwa katika operesheni kama hizo.
Aliongeza kuwa jeshi la polisi halitakubali kuona kundi la watu wachache linatishia usalama wa maisha ya raia wema na mali zao hivyo wataobainika kufanya hivyo litawachukuliwa hatua za kisheria bila kusita.
Oparesheni hiyo ilizishirikisha idara na taasisi za kiserikali ikiwemo: Idara ya Wanyamapori, Wizara ya Nishati na Madini, Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO), Idara ya Uhamiaji na Mamlaka ya Ushuru wa Forodha (TRA).
Akizungumza na wanahabari leo jijini Dar es Salaam, Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai, CP Diwani Athuman, alisema kuwa vipande hivyo vya meno ya tembo vimehusisha watu tisa kati yao ni raia wa Uganda na mwingine raia wa Guinea.
Amesema kuwa katika operesheni inayoitwa Usalama III wamekamata vitu mbalimbali kutokana na taarifa za kiintelijensia zilizokusanywa wakati wa matayarisho ya operesheni hiyo ambapo walikamata mitambo 18 ya kutengenezea pombe ya gongo na lita 960 za gongo zilikamatwa.
Athuman alisema katika operesheni hiyo wamekamata watuhumiwa 265 ambapo baada ya uchunguzi wataobainika kuhusika na vitendo vya kihalifu watafikishwa mahakamani.
Alitoa rai kwa wanunuzi wa magari nje ya nchi kuwasiliana na ofisi za Interpol za ndani au nje ya nchi kuhusu magari yanakotoka kwa uchunguzi ili kuwafanya wanunuzi kununua magari halali na kuondoa usumbufu wa kukamatwa katika operesheni kama hizo.
Aliongeza kuwa jeshi la polisi halitakubali kuona kundi la watu wachache linatishia usalama wa maisha ya raia wema na mali zao hivyo wataobainika kufanya hivyo litawachukuliwa hatua za kisheria bila kusita.
Oparesheni hiyo ilizishirikisha idara na taasisi za kiserikali ikiwemo: Idara ya Wanyamapori, Wizara ya Nishati na Madini, Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO), Idara ya Uhamiaji na Mamlaka ya Ushuru wa Forodha (TRA).
COOPERATIVES
A cooperative is an organised group of like-minded producers who combine to form a farmers’ group or partnership. Members share responsibilities and any profit or loss. They speak with a single voice and can purchase feed, equipment, chicks, building material and other supplies more cheaply. Eventually storage facilities can be established and a supply shop set up. The group can also have a strategic plan to reduce competition between individuals, set prices for poultry products and generally work to help one another to establish an industry on a firm footing. Trainers should provide as much assistance as possible to the farmers in establishing a working group that will spearhead the formation of a cooperative. The cooperative may eventually expand into other areas of commerce where the farmers can trade other farm produce in addition to poultry.COMMUNITY OWNERSHIP
This is similar to, but less rigid than a cooperative and is run by a committee representing a district or village community. For example, the committee may be responsible for raising point - of - lay pullets. These they sell at 17 - 18 weeks to individual egg producers and the profits are distributed amongst the community. The committee might purchase and run an incubator, and sell the chicks for meat or egg production at different ages. Or the committee may manage a small broiler or egg farm along commercial lines. In both cases there is opportunity to buy large numbers of chicks and bags of feed. This is usually attractive to the supplier and cheaper for the community. The concept of community farming is to empower people, mainly women, who have no opportunity as individual poultry keepers, to improve their circumstances and to alleviate poverty. Once formed, It can be extended to bio-security programs, vaccination programs against diseases, purchase of medical and other supplies, marketing of meat birds and eggs, dissemination of information, training programs and exchanging information, and greater opportunity to obtain micro-credit. This is critical to allow expansion of the family enterprise. There is a key role here for the poultry trainer who can assist in orchestrating the group by providing advice and guidance.BE THE FIRST TO COMMENT


