INAUMA SANA! Mapenzi ni jambo hatari zaidi katika maisha ya binadamu kuliko kitu kingine chochote. Hii ni kwa sababu, mtu anaweza kufanya ukatili mkubwa kwa mtu aliyekuwa kipenzi chake, wakishiriki pamoja kwa kila jambo, ikiwa ni pamoja na kuzaa watoto.
Hivi ndivyo ilivyomtokea Hadija Shabani, mwanamke mwenye umri wa miaka 21, ambaye wiki mbili zilizopita alikorofishana na mumewe, Dickson Adamu aliyezaa naye mtoto mmoja wa kike, huku tumboni akiwa na ujauzito wa miezi nane.
Katika mzozo huo, unaodaiwa kuwa siyo wa kwanza, wawili hao walitengana, wakagawana walichochuma pamoja kisha kila mmoja akachukua hamsini zake, mke akaenda kuishi maeneo ya Manzese Big Brother, kwa dada yake ili kujipanga upya.
Lakini wiki mbili baada ya tukio hilo, Dickson alifika nyumbani kwa mzazi mwenzake na bila shaka kumpa vishawishi vya hapa na pale, vilivyomlainisha Hadija na kumuamini mumewe wa zamani, hivyo kukubali kwenda kulala naye katika nyumba ya kulala wageni iliyo jirani na wanapoishi, iitwayo Jodam.
Kumbe Dickson hakuwa na mapenzi ya kweli na mkewe na alienda kwake akiwa na dhamira mbaya moyoni. Akamfanya alichomfanya, lakini siku zote mtu mwovu huishia pabaya. Akiamini baada ya kumnyonga atakuwa hajafa, akatoka nje na kuita Bajaj kisha akampakia mkewe hadi Hospitali ya Palestina iliyopo Sinza.
Pale akawadanganya madaktari kuwa haelewi kilichomsibu mkewe, lakini alidhani ni kifafa cha mimba. Madaktari hao wakamchukua na kuanza kumfanyia vipimo, ambavyo vilionesha Hadija alikuwa ameshafariki, lakini ni baada ya kubaini alama za vidole vilivyomnyonga shingoni mwake.
Wakawatonya polisi waliomkamata Dickson ambaye amehifadhiwa katika Kituo cha Polisi Urafiki, akisubiri kukamilishwa kwa taratibu za sheria ili afikishwe mahakamani.
Dada wa Hadija, Sabeth Shaban amesema kifo cha mdogo wake huyo aliyezikwa Upareni kimemsikitisha sana na kuomba sheria ifuate mkondo wake dhidi ya mtuhumiwa.
Kutoka kwa Mhariri: Tujihadhari sana na wapenzi wetu tuliokorofishana nao. Wengine wana uwezo wa kuficha hasira zao, wakaja kama marafiki kumbe wanataka kukudhuru!
COOPERATIVES
A cooperative is an organised group of like-minded producers who combine to form a farmers’ group or partnership. Members share responsibilities and any profit or loss. They speak with a single voice and can purchase feed, equipment, chicks, building material and other supplies more cheaply. Eventually storage facilities can be established and a supply shop set up. The group can also have a strategic plan to reduce competition between individuals, set prices for poultry products and generally work to help one another to establish an industry on a firm footing. Trainers should provide as much assistance as possible to the farmers in establishing a working group that will spearhead the formation of a cooperative. The cooperative may eventually expand into other areas of commerce where the farmers can trade other farm produce in addition to poultry.COMMUNITY OWNERSHIP
This is similar to, but less rigid than a cooperative and is run by a committee representing a district or village community. For example, the committee may be responsible for raising point - of - lay pullets. These they sell at 17 - 18 weeks to individual egg producers and the profits are distributed amongst the community. The committee might purchase and run an incubator, and sell the chicks for meat or egg production at different ages. Or the committee may manage a small broiler or egg farm along commercial lines. In both cases there is opportunity to buy large numbers of chicks and bags of feed. This is usually attractive to the supplier and cheaper for the community. The concept of community farming is to empower people, mainly women, who have no opportunity as individual poultry keepers, to improve their circumstances and to alleviate poverty. Once formed, It can be extended to bio-security programs, vaccination programs against diseases, purchase of medical and other supplies, marketing of meat birds and eggs, dissemination of information, training programs and exchanging information, and greater opportunity to obtain micro-credit. This is critical to allow expansion of the family enterprise. There is a key role here for the poultry trainer who can assist in orchestrating the group by providing advice and guidance.BE THE FIRST TO COMMENT

